Zamaradi Mketema amesema yupo mbioni kuachia filamu mpya ambayo anasema itakuwa gumzo. Akiongea na Bongo5, Zamaradi amesema filamu hiyo itakuwa tofauti na
kwamba awali alipanga aiite Mchepuko lakini amebadilisha jina baada ya
kuw
epo nyingine yenye jina hilo.Amesema bado ni mapema kusema itaitwaje lakini amedai kuwa ni tofauti
kabisa na Kigodoro, filamu iliyompa tuzo. “Tumetoka kwenye upande wa
Kigodoro kabisa tuko sehemu nyingine tofauti kabisa,” amesisitiza.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni